Tunauza Shamba Bora Lenye Jumla ya Heka 10.5 na Miundombinu Muhimu kama Maji ya Uhakika na Nyumba ya Shambani. Barabara ya Kutoka Njombe Mjini hadi Shamba Inapitika Mwaka Mzima hata Wakati wa Masika/Kifuku.
Kati ya Heka 10.5 zilizo Flat, Heka Nane (8) Zina Jumla ya Miparachichi 600 (Miti 80 kwa Heka) na Mi-Apple 20 Yenye Umri wa Miaka Miwili, Iliyotunzwa Kitaalam na Imeshaanza Kutoa Maua.
Zaidi Ya Parachichi, Unaweza Pia Kulima Mazao Mbalimbali na Kuweka Mifugo Kama Kuku, Ngombe, naka zalika
Type: farm
Location: Mwanza
Price: 23000000 TZS
Posted by: bashrail